• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TAKUKURU SHINYANGA TUMERIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI SEKTA YA ELIMU - DONASIAN

Posted on: February 4th, 2025

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Shinyanga Ndg. Donasian Kessy amesema kuwa wameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya Sekta ya Elimu (SEQUIP na EP4R) katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Kishapu, na Manispaa ya Shinyanga.

Donasian ameyasema hayo Februari 4, 2025 wakati akitoa taarifa ya kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2024/2025 ambapo ameongeza kuwa utekelezaji wa miradi hii uko katika hatua mbalimbali huku baadhi iko katika hatua ya manunuzi na mingine iko kwenye hatua ya umaliziaji.

“Tunaridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya sekta ya elimu ambayo inatekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Kishapu na Manispaa ya Shinyanga ambayo imefikia hatua mbalimbali ikiwemo ya umaliziaji,” amesema Donasian.

Kando na hayo amesema kuwa, TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha elimu ya kupinga rushwa inaendelea kutolewa katika Taasisi za Serikali, Binafsi na Wananchi kupitia kuanzisha Klabu za wapinga rushwa, mikutano ya hadhara, semina na vyombo vya habari lengo ni kuongeza uelewa na wigo wa mapambano dhidi ya rushwa.

TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga inatoa wito kwa wananchi wote kuendelea kushirikiana na Serikali ili kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa ikiwemo ya Sekta ya Elimu inakamilika kwa wakati, ufanisi na ubora uliokusudiwa na Serikali.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • NATOA WITO KWA VIJANA HAPA SHINYANGA KUREJEA NA KUTATHIMINI UPYA NJIA ZA KUJIPATIA KIPATO - RC. MACHA

    May 20, 2025
  • SERIKALI YATHIBITISHA VIFO VYA WATU SITA NA MAJERUHI 11 KATIKA AJALI YA MGODI WA MWAKITOLYO.

    May 18, 2025
  • WAZAZI NA WALEZI, NENDENI MKAWE MABALOZI SAHIHI WA KAZI ZA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN – RC. MACHA

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa