• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA MKOA AKABIDHI MISAADA KWA WAHITAJI

Posted on: March 9th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amekabidhi misaada yenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 2 kwa wanawake 23 wahitaji wanaoishi katika Tarafa ya Ibadakuli, Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.

Mhe. Telack amekabidhi misaada hiyo ambayo imetolewa na wahisani mbalimbali, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo kimkoa yamefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Ibadakuli mapema jana.

Akitoa shukrani kwa Mhe. Mkuu wa Mkoa, kwa niaba ya wanawake wa Ibadakuli, mmoja wa wanawake hao Bibi Maria Kapela amesema kuwa, wanawake wengi hasa wanaofanya kazi kwenye baadhi ya viwanda, wanashindwa kutimiza malengo yao ya kiuchumi kutokana na ujira mdogo wanapata viwandani.

Aidha, wamemueleza kuwa wana changamoto ya kutokuwa na eneo maalum la kuuzia bidhaa zao hivyo wamemuomba awasaidie kupata eneo hilo katika Manispaa ya Shinyanga.

Akizungumza na wanawake pamoja na wananchi kwa ujumla, Mhe. Telack amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga kutafuta eneo ambalo kina mama wajasiriamali wataweza kuuza bidhaa ili waendelee kuzalisha na wapewe maelekezo jinsi ya kuweza kupata eneo. 

Mhe. Telack pia amemuagiza Afisa kazi Mkoa, kufahamu idadi ya wanawake wanaofanya kazi viwandani na kwenda kwenye viwanda kuzungumza na wamiliki wa viwanda kuhusu maslahi ya wanawake wanaofanya kazi viwandani na kuwasilisha taarifa kwake.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • NATOA WITO KWA VIJANA HAPA SHINYANGA KUREJEA NA KUTATHIMINI UPYA NJIA ZA KUJIPATIA KIPATO - RC. MACHA

    May 20, 2025
  • SERIKALI YATHIBITISHA VIFO VYA WATU SITA NA MAJERUHI 11 KATIKA AJALI YA MGODI WA MWAKITOLYO.

    May 18, 2025
  • WAZAZI NA WALEZI, NENDENI MKAWE MABALOZI SAHIHI WA KAZI ZA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN – RC. MACHA

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa