• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KILA LA KHERI WANAFUNZI WA DARASA LA SABA - RC MACHA

Posted on: September 10th, 2024

Na Paul Kasembo, Shy Rs.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamiringi Macha amewatakia wanafunzi wa darasa la saba Mkoa wa Shinyanga maandalizi mema ya mtihani wao wa kumaliza elimu ya shule ya msingi ambao utaanza siku ya kesho tarehe 11-12.09.2024.

Ameyasema hayo leo tarehe 10 Septemba, 2024 huku akibainisha watahiniwa takribani 45,693 wanaotarajiwa kufanya mtihani wakiwemo wavulana 19,528 na wasichana 26,165 katika shule za msingi za serikali 593 na shule za msingi 61 za binafsi.

“Ninawatakia wanafunzi wote maandalizi mema ya mtihani wa kumaliza elimu ya shule ya msingi utakaoanza kesho tarehe 11 Septemba, 2024 nikiamini mtaenda kufanya vizuri na kukumbuka yale yote mliyojifunza kwa miaka saba shuleni na niwapongeze kwa uvumilivu mkubwa ambao mmeuonesha pamoja na changamoto zozote mlizokumbana nazo” amesema Macha.

Pia amewataka walimu, wazazi na wanafunzi kutokujihusisha na udanganyifu wa aina yoyote wakati wa mtihani na badala yake wanafunzi watumie yale ambayo walijifunza wakiwa darasani ili kujibu mtihani na kupima uwezo wao.

“Niwasihi walimu, wazazi na wanafunzi kuepuka kabisa kujihusisha na udanganyifu wa aina yoyote wakati wa mtihani kwani ni kosa kubwa kisheria na badala yake muwasaidie wanafunzi wakumbuke yote waliyojifunza darasani na wafanye mitihani kwa kutumia akili zao wenyewe ili kupima uwezo wao” ameongeza Macha.

Kwa ujumla maandalizi ya mtihani huo yamekamilika na wanafunzi 45,693 ndani ya Mkoa wanatarajia kufanya mtihani wao wa kuhitimu elimu ya shule ya msingi ambapo wavulana ni 19,528 na wasichana 26,165, aidha walimu watakaosimamia mtihani huo ni 3,339.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • NATOA WITO KWA VIJANA HAPA SHINYANGA KUREJEA NA KUTATHIMINI UPYA NJIA ZA KUJIPATIA KIPATO - RC. MACHA

    May 20, 2025
  • SERIKALI YATHIBITISHA VIFO VYA WATU SITA NA MAJERUHI 11 KATIKA AJALI YA MGODI WA MWAKITOLYO.

    May 18, 2025
  • WAZAZI NA WALEZI, NENDENI MKAWE MABALOZI SAHIHI WA KAZI ZA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN – RC. MACHA

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa