• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Mamlaka za maji zatakiwa kujiendesha na kukusanya mapato

Posted on: September 27th, 2018

Mamlaka za maji safi na usafi wa mazingira nchini zimetakiwa kukusanya mapato na kuwekeza katika kuzalisha, kuuza maji na kuwekeza katika miradi ya maji bila kutegemea Wizara ya maji na umwagiliaji.

Waziri wa maji na umwagiliaji Profesa Makame Mbarawa amesema hayo mapema leo alipowasili katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kwa ajili ya ziara yake yenye lengo la kuzungumza na Mamlaka za maji Mkoani hapa.

Profesa Mbarawa amesema fedha zilizopo kwenye mfuko wa maji Wizarani ni kwa ajili ya kuwasambazia maji wananchi walio vijijini kwa hiyo Mamlaka zitumie fedha zinazopatikana kutokana na kuuza maji kujiendesha zenyewe, aidha watafute wateja na kuhakikisha hakuna upotevu wa maji.

Mbarawa pia amewataka wahandisi wa maji kuwa waadilifu hususani katika kuteua wakandarasi na kusimamia miradi mbalimbali inayotekelezwa.

Matangazo

  • Matokeo ya kidato cha nne na QT 2018 January 24, 2019
  • Mwenge wa Uhuru kuwasili Mkoani Shinyanga August 17, 2018
  • Uzinduzi wa Utoaji wa Chanjo mpya ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi April 20, 2018
  • Ziara ya Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (MB), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mkoani Shinyanga July 05, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Matukio katika picha, ziara ya Mhe. Balozi Seif Ally Iddi Mkoani Shinyanga

    February 13, 2019
  • Shinyanga yapata magari yenye thamani ya sh. mil 189 kwa ajili ya shughuli za UKIMWI

    February 07, 2019
  • Ofisi za RC na DC zisiwe mahakama

    February 02, 2019
  • Wadau watoe elimu kuwazuia vijana kufanya ngono, siyo matumizi ya kondomu

    February 01, 2019
  • Angalia zote

Video

MAKABIDHIANO YA MWENGE WA UHURU 2018 MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Hati ya Mshahara

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa