• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Ziara ya Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (MB), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mkoani Shinyanga

05 July 2018

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), atafanya ziara ya kikazi Mkoani Shinyanga kuanzia tarehe 07 – 11 Julai, 2018, katika Halmashauri zote sita (6) za Mkoa wetu.

Lengo la ziara hii ni kuhamasisha na kufuatilia utekelezaji wa shughuli za maendeleo pamoja na kukagua masoko ya pamba.

Pamoja na shughuli hizo, Mheshimiwa Waziri Mkuu atazungumza na wananchi na watumishi wa Umma kwa kila Halmashauri.

Aidha, tarehe 10 Julai, 2018 Mheshimiwa Waziri Mkuu atakuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa mpango wa Bima ya Afya kwa wakulima kupitia vyama vya Ushirika ambao Kitaifa utafanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Wilayani Kahama.

Wananchi wote wa Mkoa wa Shinyanga mnaombwa kujitokeza kwa wingi kumpokea Mheshimiwa Waziri Mkuu atakapopita katika maeneo yenu.

Matangazo

  • Matokeo ya kidato cha Sita mwaka 2019 July 11, 2019
  • Mwenge wa Uhuru kuwasili Mkoani Shinyanga May 07, 2019
  • Uzinduzi wa Utoaji wa Chanjo mpya ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi April 20, 2018
  • Ziara ya Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (MB), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mkoani Shinyanga July 05, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Wananchi watakiwa kukaa mbali na maeneo ya Kambi za Jeshi kuepuka madhara

    December 04, 2019
  • RC Telack apiga marufuku bidhaa za vyakula kuwekwa juani

    December 04, 2019
  • DC Taraba akemea mila potofu ya Waganga wa kienyeji kuwaosha mabinti ili waolewe

    December 04, 2019
  • Wananchi wakumbushwa kudumisha Amani Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    November 14, 2019
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Hati ya Mshahara

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa