• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Kambi maalumu ya Uchunguzi wa Tiba na magonjwa

05 July 2018

Mkoa wa Shinyanga kwa kushirikiana na Wadau wa Afya unatarajia kuwa na kambi maalumu ya uchunguzi na tiba ya magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza kuanzia tarehe 17 hadi 21 Julai, 2018 katika uwanja wa Shycom, Manispaa ya Shinyanga.

Kambi hiyo maalumu ina lengo la kutoa huduma ya Upimaji wa Magonjwa, Kutoa Elimu ya Afya na ushauri kwa wananchi juu ya umuhimu wa kuwa na tabia ya kupima Afya zao kila wakati (Magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza) pamoja na kufanya uchunguzi wa Afya na kutoa huduma stahili za tiba / upasuaji kwa wananchi watakaothibitika kitaalam.

Wataalamu wa Afya wa ndani ya Mkoa na Madaktari Bingwa kutoka Hospitali za Bugando, KCMC, Hospitali ya Taifa Muhimbili, Hospitali ya Mt. Thomas na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete watakuwepo kutoa huduma katika fani maeneo yafuatayo:- Upasuaji, Magonjwa ya ndani, Mfumo wa Mkojo(Urology)/Tezi Dume, Magonjwa ya akina mama, Magonjwa ya ngozi, Magonjwa ya Mfumo wa macho, koo, masikio na pua pamoja na Magonjwa ya watoto

Huduma zote za uchunguzi zitafanyika bila malipo. Wenye kadi za Bima za NHIF, CHF na nyinginezo watahudumiwa kwa kutumia kadi zao.

Wananchi zaidi ya 20,000 wanatarajiwa kufikiwa na kunufaika na huduma hii.

Wananchi wote mnaombwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi hili ili kupata huduma husika.

Imetolewa na:-

Zainab R. Telack,

Mkuu wa Mkoa,

Shinyanga

02 /07 /2018

Matangazo

  • TANGAZO LA KUOMBA NAFASI YA UJUMBE WA BODI YA HOSPITALI YA MKOA January 03, 2020
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha nne 2019 January 09, 2020
  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa Kidato cha pili 2019 January 09, 2020
  • Mwenge wa Uhuru kuwasili Mkoani Shinyanga May 07, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RAIS AENDELEA KUTIMIZA AHADI YAKE KWA MAAFISA TARAFA MKOA WA SHINYANGA

    May 29, 2020
  • Hospitali ya Halmashauri ya Ushetu kuanza kuhudumia wananchi mwezi April mwaka huu

    February 11, 2020
  • Wananchi watakiwa kutopeleka Serikalini mashauri yaliyopo Mahakamani

    February 06, 2020
  • RC Shinyanga amsimamisha kazi Mtendaji wa kijiji cha Nyandekwa

    February 05, 2020
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Hati ya Mshahara

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa